Текст песен
и переводы
Mama
0
0

Mama

Zuchu

Альбом: Peace And Money
Дата релиза 2024
2
Текст Mama

Heh! Zuchu, Chu, Chu, Chu

Gogu (Ayo Lizer)

Mmh, rafiki yangu kwenye shida, rafiki yangu kwenye raha

Niko naye kila mida, hajawahi nikataa

Yuko radhi mi kushiba, yeye ndo ashinde njaa

Sio mwengine ni mama

Labda nikupe picha

Uone nafasi yako maana

Nikikukosa kwenye maisha

Eh-eh, kiukweli itanichanganya, eh-eh-eh

Mitihani

Yake yangu mimi

Nikulipe nini

Kiasi gani mi sioni, oh, mama

Mama, I love you, mama

Mama, nakupenda sana

Mama, I love you, mama

Mama, nakupenda sana

Mmh, ee Mola uliyejaa rehema natanguliza shukrani (asante)

Bila huyu mama mwema ningekuwa mgeni wa nani (asante)

Mnaowavunjia heshima nyie mnawezaje kwani

Mimi wangu akinuna, moyo unakosa amani

Mitihani

Yake yangu mimi

Nikulipe nini

Kiasi gani mi sioni, oh, mama

Mama, I love you, mama

Mama, nakupenda sana

Mama, I love you, mama

Mama, nakupenda sana

Hey, mamangu njoo tucheze kandili (kandili katikatikati katikati)

Cheza kandili (kandili katikatikati katikati)

Tingisha kiwiliwili (kandili katikatikati katikati)

Kakaka (kandili kati)

Отзывы к песне
  • Смайлы и люди
    Животные и природа
    Еда и напитки
    Активность
    Путешествия и места
    Предметы
    Символы
    Флаги